Balaza la Usalama la Umoja wa Matafa limezitaka nchi za Afrika kuongeza nguvu za vikosi vyake vya kulinda amani vilivyoko Central
Africa Republic (Jamuhuri Afrika ya Kati).
Kutokana
na mapigano yana endelea nchini humo, nchi takribani 15 zimependekeza
kuwepo kwa serikali ya mpito ili kuwezesha kurejea kwa hali ya amani nchini humo.
Balaza hilo limeonyesha ukubali wa kuangalia uwezekano zaidi wa kuihimarisha Jamuhuri hiyo ya Afrika ya Kati.
Afrika ya Kati imekua katika machafuko baada ya waasi nchini humo kumuondoa madarakani raisi wa nchi hiyo Francois
Bozize na kuushikilia mji mkuu Bangui mnamo 24/3.